Msitafu
gavana wa kaunti ya Mombasa alimarufu 001, Ali Hassan Joho ni kati ya magavana
hapa inchini waliokuwa wakipenda mziki. Kwani kuna badhi ya viongozi walikuwa
wakimita kwa jina Catherina. Catherina ni jina la nyimbo iliyokuwa ikizumu na
kupendwa na kila mtu hapa Africa Mashariki.
Wanjiku
alipofahamu kuwa gavana huyo ni kipenzi wa mziki basi hakuchelewa kwani
alimuendea na kuomba kumshika mkono vijana waliona na vipaji. Ila palipo na
shwari hapa kosi shari. Baadhi ya wanamziki wa eneo la pwani waliokuwa wakiomba
msada wa kujiendeleza kimziki walikashifu sana mradi huo. Na kusema kuwa wasimamizi
walioteuliwa na gavana huyo walikuwa wanaubaguzi. Kwani walichangua watu walio
na ukaribu nao.
Ila
wahusika waliposikia kauli hizo za badhi za wanamziki hao walikuwa wakisema
kuwa kila mtu huwa na bahati yake na kaunti ya mombasa ni kubwa na iko na
vijana wengi walio na vijapi wanaotafuta msada na kwa kuwa ni wengi basi
itakuwa vingu sana kwa kila mwanamziki wa kaunti hiyo kunufaika na mradi huo.
Kwakuwa
sasa kaunti ya Mombasa imekuwa na gavana mwengine wanjiku anasema kuwa mradi
huo hautakuwa na muelekeo kwani ulikuwa ni mradi ulikuwa ukitumia fedha za
wanjiku, na sasa muanzilishi wa mradi huyo hauko mamlakani umefikia kikomo.
Kauli
za wanjiku zilipowafikia wa husika wa mradi huyo walimjibu wanjiku na kusema
kuwa”mradi huo ulikwa na gavana joho binafsi sio mradi wa kiserekali kwa hivyo
bado uko na utaendlea kuwepoa.”
Comments
Post a Comment